Pages

Subscribe:

Wednesday, November 29, 2017

ETO'O AFUNGUKA BAADA YA TAARIFA KUSAMBAA KUWA AMELIPIA NDEGE IWARUDISHE WAHAMIAJI WA CAMEROON WALIO KWAMA LIBYA


Mshambuliaji wa klabu ya soka ya Antalyaspo ya nchini Uturuki, raia wa Cameroon, Samuel Eto’o Fils amekanusha tetesi zilizosambaa mtandaoni kuwa amewalipia tiketi za ndege wahamiaji wa nchi hiyo waliokuwa wamekwama Libya kurejea makwao. 

Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Eto’o amesema kuwa tetesi hizo hazina ukweli wowote. Ameandika...

Several sites have circulated a rumor that I would have given money to every migrant returnee, in relation to a topical issue. This rumor is absolutely unfounded! I would therefore take advantage of this opportunity, dear brothers and sisters, to emphasize that love prevents more evils than money can solve. 

So let’s not waste our precious time looking for thrills at the expense of grieving people, but let us use this time to prevent other brothers from being deprived of their dignity. Let us not just react when we can prevent, because among these victims are certainly people who have been our neighbours at some point, but to whom we have not daigné to look kindly. Let us build our Africa by having a positive impact on each other!
 
#Stopdistraction impactpositif #plusdamour #lafriquecestcheznous #adrenaline
#impactpositif

0 comments:

Post a Comment