Pages

Subscribe:

Monday, January 29, 2018

DIAMOND: SIYO KILA MWANAMKE MZURI NATEMBEA NAYE MIMBA YA TUNDA SI YANGU


Hatimaye msanii kutoka industry ya Bongo Fleva, Diamond Platinumz ameamua kuanika kuhusu tetesi za kumapachika uzauzito Video Vixen wa Bongo, Tunda.

Akifanya mahojiano maalum ya Global TV Online, Diamond amekanusha kumpachika mimba staa huyo na kudai kuwa hajawahi hata kutebea naye wala...
kuwa na mahusiano naye.
“Sio kila mwanamke mzuri ninatembea nae mimi tu, sijawahi kuwa na mahusiano na Tunda,” alisema Diamond.

0 comments:

Post a Comment