Pages

Subscribe:

Tuesday, January 30, 2018

MAMA DIAMOND ARUSHA DONGO BAADA YA VIDEO YAKE AKIWA NA WEMA KUSAMBAA


Maneno yamekuwa mengi baada ya Wema Sepetu kupanda kwenye stage na kumuita Diamond Platnumz wakiwa Maisha Basement na wengi  kujiuliza kuhusu ukaribu wao tokea wakiwa Hyatt Regency katika utambulisho rasmi wa msanii Marombosso katika record label ya WCB.
Mama Diamond akaamua kupost instagram sehemu ya video clip Wema akiwa kwenye stage na kuandika...

“KWA HERUFI KUBWA NYIE ONGEENI CHAMBANENI CC TUNAPIGA PESA”

0 comments:

Post a Comment