Pages

Subscribe:

Wednesday, July 27, 2016

NANI MKALI KATI YA RAYMOND NA CHID BENZ KTK FREESTYLE JIBU LIKO HAPA


IMG-20160712-WA0045
Chid Benz anafahamika zaidi kwa freestyle kali hali iliyopelekea watu kumpa jina la King of freestyle lakini pia watu wengi walikuwa hawafahamu uwezo wa Raymond kwenye kufreestyle lakini kwa sasa wameweza kuutambua kwa kuwa kabla ya kumfahamu akiwa na WCB, msanii huyo alikuwa anarap.

Wasanii hao walishindana kwa freestyle walipoenda walipoenda kutambulisha wimbo wa ‘Chuma’ wa Chid Benz aliomshirikisha Raymond. Check video nani zaidi Hapo chini...

Watch Here

0 comments:

Post a Comment