Pages

Subscribe:

Tuesday, July 26, 2016

SHISHI AWATOA UDENDA MASHABIKI BAADA YA KURUHUSU WAMSHIKE KIUNO

Msanii wa muziki Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amewatoa udenda wakutosha mashabiki wa muziki wake hivi karibuni baada ya kuwapa nafasi ya kushika kiono chake. Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake ‘Say My Name’ amefanya tukio hilo katika show yake iliyofanyika Jumamosi iliyopita katika hotel ya Kijiji Beach Kigamboni.
 
Katika picha mbalimbali ambazo zimesambaa katika mitandao ya kijamii zinamuonyesha muimbaji huyo akishikwashikwa kiuno na mashabiki hao huku wakionyesha...
kufurahiwa na kitendo hicho.

Pia katika show hiyo muimbaji huyo aliambatana na msanii wake ‘Gaucho’.
Hata hivyo kitendo hicho kimewakasirisha baadhi ya mashabiki wake katika mitandao ya kijamii huku kila mmoja akiongea lake.

0 comments:

Post a Comment