Pages

Subscribe:

Sunday, December 31, 2017

JOSE MORINHO AFUNGUKA JUU YA HALI YA LUKAKU NA MUDA ATAKAO MKOSA

Club ya Manchester United ambayo usiku wa December 30 2017 imelazimishwa sare tasa (0-0) katika mchezo wake wa Ligi Kuu England dhidi ya Southampton, kocha wao Jose Mourinho ametangaza habari mbaya kuhusu safu yake ya ushambuliaji kupungukiwa nguvu.

Jose Mourinho sasa amethibitisha kuwa atawakosa kwa muda mrefu kidogo Romelu Lukaku aliyeumia kwenye game ya jana dhidi ya Southampton na mshambuliaji wake Zlatan Ibrahimovic ambaye yupo...
majeruhi anasumbuliwa na goti, Mourinho baada ya game aliongelea kuhusu Lukaku.

Lukaku alitolewa nje dakika ya 14 baada ya kuumia kichwani na baada ya game Jose Mourinho aliongea na waandishi wa habari na kusema “Ukiona mchezaji anatolewa kama alivyotoka Lukaku basi ujue anaweza kukaa nje kwa walau mechi hata mbili”


0 comments:

Post a Comment