Pages

Subscribe:

Monday, December 25, 2017

RAY C: MAVIDEO QUEEN WA BONGO WAO NDIYO HUPENDA KUJIWEKA UTUPU KWENYE VIDEO

Mkongwe kwenye muziki wa bongo fleva Rehema Chalamila Ray C amewafungukia mavideo Vixen ambao wamekuwa wakitokea kwenye video mbalimbali za muziki huku sehemu ya miili yao ikiwa nusu utupu.

Ray amefanguka kuwa tabia ya kukaa uchi katika video haitokani na maoni ya waongozaji bali, hata tabia za mavideo vixen wenyewe hutaka na hutengeneza... mazingira ya kukaa uchi jambo ambalo si zuri kwa afya ya muziki wa Bongo fleva.

“Nina wafahamu vizuri mavideo vixen wa bongo, baadhi yao hutengeneza mazingira ya wao kuonesha maumbo yao na kwa kujiweka utupu, si maoni ya waongozaji tu, bali hata video Queen wenyewe ni tatizo,” alisema Ray C

0 comments:

Post a Comment