Pages

Subscribe:

Saturday, January 13, 2018

AZAM FC MABINGWA WA KOMBE LA MUUNGANO KWA MARA YA PILI MFULURIZO


Thank you for your wonderful 
Support Last night 👏👏👏

Baada ya mechi kumalizika kwa sare ya kuto fungana na URA hatimae Azam Fc imeweza kutwaa ubingwa huo wa kombe la Mapinduzi baada ya kupata ushindi wa penati 3 - 4 ambapo kipa wa Azam Razark Balora baada ya kudaka penati moja na kuifanya Azam kutangazwa kuwa bingwa wa michuano hiyo kwa mara ya pili mfurulizo.

0 comments:

Post a Comment