Pages

Subscribe:

Tuesday, October 25, 2016

DIAMOND: SICHUKUI WASANII WACHANGA MPAKA RAYMOND NA HARMONIZE WAKUWE

Diamond amedai kuna wasanii wengi wa kimataifa Afrika na nje ya Afrika wametaka kujiunga na WCB lakini amewakatalia kwa kuwa anatka kukuza wa nyumbani kwanza.
 
Pia amesema sasa hivi hawachukui wasanii wengine wachanga mpaka Ray vanny na harmonize wakue vizuri

0 comments:

Post a Comment