Pages

Subscribe:

Friday, October 28, 2016

HIVI NDIVYO AUNT EZEKIEL ALIVYO SHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA

Alhamisi hii ilikuwa ni siku ya kuzaliwa kwa Malkia wa filamu nchini, Aunty Ezekiel ambaye anadaiwa kutimiza miaka 30 lakini kwenye sherehe hiyo imeonekana kuwa ya siri huku akisherehekea na watu wachache aliowaalika. Tazama picha hapa...

0 comments:

Post a Comment