Pages

Subscribe:

Saturday, October 29, 2016

NYANDU TOZZY AFUNGA NDOA KIMYA KIMYA

nyandu-tozzy
Msanii wa muziki wa hip hop kutoka Kundi la BOB, Nyandu Tozzy amefunga ndoa kimya kimya na mpenzi wake wa muda mrefu, Rapa huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo ‘Kiboko ya mabishoo’ amekuwa ni msanii wa pili ndani ya mwezi huu kufunga ndoa baada ya...
October 15 msanii kutoka Tip Top Connection Tunda Man kuvuta jiko huko mkoani Morogoro.
 
Baadhi ya wasanii pamoja na wadau mbalimbali wa muziki wamepongeza msanii huyo kwa hatua aliyofikia.

0 comments:

Post a Comment