Pages

Subscribe:

Saturday, October 29, 2016

MR. BLUE: MIMI NDIYE RAPA PEKEE NINAYESHINDANA NA WASANII WANAO IMBA


14693664_595616103955897_4004294784263913472_n
Mr Blue amedai kuwa yeye ndio rapper pekee anayeshindana na wasanii wanaoimba, Rapper huyo amesema hayo kwenye kipindi cha Friday Night Live cha EATV wakati akifafanua sababu ya kutumia aka nyingine siku za hivi karibuni ‘Most Expensive MC’.

“Unajua mimi ndio rapper pekee ninayeshindana na wasanii wa kuimba. Ukiachilia mbali kwa mali nazomiliki lakini hata mashairi yangu, ninaweza nikakaa mwaka mzima nikatoa...
nyimbo mmoja au mbili na zikafanya vizuri ndani ya mwaka huo wote,” amesema Blue.
Kwa sasa Blue ni mmoja kati ya wasanii wa Bongo wenye aka nyingi zaidi ikiwa ni zaidi ya tano.

0 comments:

Post a Comment