Pages

Subscribe:

Friday, November 25, 2016

BARAKA DA PRINCE ACHUKIA KUITWA CHAWA WA ALIKIBA

Mkali wa Bongo fleva Baraka Da Prince amewapa makavu mashabiki ambao wanamsakama kwa kumwambia yeye ni mfuasi wa Alikiba.
Akiongea @barakahtheprince_ amedai kuwa watu hawajui yeye na @officialalikiba wametoka wapi na ni jinsi gani wanaishi kiasi kwamba wanakuwa karibu kiasi hicho.
.
“Alikiba ni miongoni mwa wasanii ambao ni Role Model wangu, Alikiba ni msanii ambaye ameni inspire mimi katika muziki wangu kwahiyo mimi hata kuimba nyimbo yake sioni kama ni kitu cha ajabu. Na ukizingatia ni mtu ambaye nafanya nae kazi katika record label moja kwahiyo ni... brother ambaye muda mwingi nipo naye. Ninapo mpresent pale ambapo yeye hayupo sioni kama ni ajabu kwasababu sometimes mimi naenda kwenye show nakutana na fans wa Kiba, kwahiyo nikipiga ngoma yake hata moja inakuwa ni poa.” alisema #Barakah

0 comments:

Post a Comment