Pages

Subscribe:

Tuesday, November 29, 2016

HIZI NDIYO NYIMBO 10 ZINAZOONGOZA KWA KUCHEZWA KWENYE MEDIA NCHINI NIGERIA KWA SASA

Wimbo wa Tekno ‘Pana’ ndio unaongoza orodha ya ngoma zinazochezwa zaidi kwenye vituo vya radio vya nchini Nigeria. Kwenye orodha hiyo ya nyimbo 10 zilizoongozwa kuchezwa wiki iliyopita ni nyimbo mbili tu kutoka nje zilizoingia,
1: Tekno – Pana
2: Bruno Mars – 24k Magic
3: P-Square – Bank Alert
4: Prokassy – Imma...

5: Timaya – Bang Bang
6: Joe El – Do Good
7: Phyno ft. Olamide – Fada Fada (Ghetto Gospel)
8: D’Nyra – Jabole
9: Illbliss ft. Reekedo Banks, Mr. Eazi – Jawonlaya
10: Tory Lanez – Luv

0 comments:

Post a Comment