Pages

Subscribe:

Saturday, November 26, 2016

CUBA KUOMBOLEZA SIKU KADHAA BAADA YA KIFO CHA FIDEL CASTRO


castro
Rais wa zamani wa Cuba na kiongozi wa mapinduzi ya kikomunisti, Fidel Castro amefariki akiwa na umri wa miaka 90, mdogo wake Raul ametangaza. Amefariki usiku wa saa nne na dakika 22, kwa mujibu wa Rais Raul Castro.

Fidel Castro aliiongoza Cuba kama nchi ya chama kimoja kwa takriban miaka 50 kabla ya Raul kushika madaraka mwaka 2008. Mazishi yake yanafanyika Jumamosi hii kwa mwili wake...
kuchomwa moto. Kutakuwepo na siku kadhaa za maombolezo ya nchi nzima.

0 comments:

Post a Comment