Pages

Subscribe:

Wednesday, November 30, 2016

UONGOZI WA ALIKIBA WAELEZA SABABU YA ALI KUSHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA AKIWA MBUGANI


0c0acf02-a361-4b13-8255-1ac97a92c1e4
Nimeuuliza uongozi wake sababu ya mwaka huu kufanya sherehe kubwa na tena mbugani. “Yes ni mara chache hufanya party on his birthday,” amesema mmoja wa mameneja wake.

“Aliamua kuja mbugani kwa sababu kuu ni kwa sababu anapenda wanyama pili ni kutumia jina lake kutangaza utalii wa ndani,” aliongeza. Wafanyakazi wa makampuni mbalimbali ya mbugani yaliungana na...
uongozi wake kusherehekea siku yake hiyo muhimu ambayo ametimiza umri wa miaka 30.
Chini ni picha zaidi za party hiyo.
ac9f62f5-1d1d-4044-877e-38366bb5094e

05fdccb7-0f4b-44b7-9579-9c47069b23fb

07e882b5-d2ae-48a6-8b4e-0e9f6d622888

76ca055d-bc10-4330-86db-287304fa6242

28062aa2-4e5c-4bb8-9eeb-a542b8657366

a5f07920-8874-44ab-9527-7cc2f51f74c4

c29bd3cc-c6fd-48eb-9e89-1196c31e6f49

d3250638-fa6f-4688-bf56-4b2dc4878802

0 comments:

Post a Comment