Pages

Subscribe:

Friday, October 20, 2017

NATURE AWATAKA WASANII WANAO RUDIA NYIMBO WAOMBE VIBALI

Juma Nature Awachana Wasanii Wanaotumia Nyimbo za Wasanii Wakongwe Awataka Kuomba Kibali kwa Wahusika
Msanii Juma Nature ambaye ni mkongwe kwenye game ya bongo fleva, amewataka wasanii wachanga kufuata sheria pale wanapotaka kutumia nyimbo za wasanii wakongwe jukwaani, ikiwemo kuomba kibali kwa muhusika na ikiwezekana amlipe fedha
Juma Nature ameyasema hayo alipokuwa akiongea na mwandishi, na kueleza kwamba msanii mchanga kuimba nyimbo za msanii mkongwe jukwaani sio...

jambo baya na inaonyesha heshima, lakini ni vyema wakawa na makubalino maalum kabla hajafanya hivyo kuepusha migogoro.

0 comments:

Post a Comment