Pages

Subscribe:

Wednesday, April 5, 2017

STORY: SLAVE SEX (MTUMWA MWA NGONO) 08

Image result for MTUMWA WA NGONo 01
AGE….(18+)
ILIPOISHIA.
“Siamini,embu twende tena sasa hivi”
Nickson hakutania, aliwek a shati mwilini wakavaa nguo na kuingia kwenye gari usiku huo huo wakanyoosha mpaka hospitalini,ni kweli Nickson hakuamini kusikia kuwa Mke wake ameshika mimba,kwake jambo la kupata mtoto lilikuwa kama ndoto na ilikuwa ni lazime itimie!


SONGA NAYO.

Nickson alikuwa katika hali ya furaha mno kuliko siku zote za maisha yake,alitamani siku ziende harakaharaka na miezi tisa ifike ili..
apate kumuona mtoto wake, habari za mke wake kushika ujauzito ziliufanya moyo wake ujawe furaha mno. Walivyo fika nyumbani aliinama kidogo na kulibusu tumbo la Gloria huku akitabasamu!
“Nitazidi kukupenda Gloria wangu,ahsante kwa kunipa zawadi hii ya mtoto”
“Usijali Nickson hata ukihitaji watoto mia mbili nitakuzalia ili mradi siku zote uwe mwenye furaha katika maisha yako”
“Nakupenda sana, nakupenda mara mia moja”
“Hata mimi”


Nickson alimvuta mke wake na kumfuata mdomoni taratibu,mpaka hapo Gloria alishaelewa ni kitu gani alichotakiwa kukifanya,alitoa ulimi wake ukakutana na wa Nickson kisha kuanza kulana denda!


Waliliheshimu tendo hilo, waliinuka kwenye viti huku ndimi zao zikiwa zimegandana mpaka chumbani,Nickson akajitupa chali kitandani Gloria akafuata juu yake huku akiwa amepanua miguu yake huku na kule na kuendeleza zoezi la kulana denda.


Kazi ya kutoa nguo za Nickson ikawa juu ya Gloria ambapo alimtoa shati la juu kisha vest kufuatia nayeye Nickson akafanya hivyo kwa mkewe,kila mtu akabaki kifua wazi, taratibu wakaendelea kupigana mabusu ya mdomoni huku wakinyonyana lips zao adoado!


Mikono ya Gloria taratibu ikawa ina papasa kifuani mwa Nickson kisha baadaye ikashuka mpaka kwenye mkanda,ukatolewa kimahaba na suruali ikashushwa mpaka chini miguuni ambapo Nickson alinyoosha miguu ili suruali itoke kiwepesi.


Ni wazi kuwa Nickson alikuwa mbali kihisia.Macho yake yote yalikuwa juu ya uso wa Mke wake aliyekuwa mzuri na mweupe kupita kiasi,hiyo ndiyo iliyomtia morari sana.Gloria alikuwa ni msichana mweupe wa rangi na mwenye sura ya duara,midomo yake mizuri ilibeba mashavu manene kiasi ambayo akitabasamu basi vishimo vya mashavu huingia ndani yaani ‘dimpoz’Macho ya Nickson yalizidi kumkagua Gloria yakatua kifuani, ambapo maziwa yalikuwa yamesimama wima ‘chuchu saa sita’kama waswahili wayaitavyo!
“Mhhh Asshhhs”


Gloria aliguna baada ya mkono mmoja wa Nickson kupita ndani ya ikulu yake ukiwa unatalii na wakati mwingine ukiwa unadadisi kwa ndani.Gloria alipindulia na kulazwa chini chali kisha Nickson akapanda juu yake,aliupeleka ulimi wake juu ya maziwa ya Gloria huku mkono wake mwingine ukiwa kwenye ikulu.


Kazi ya Gloria ikawa ni kuguna na kutoa mihemo ya puani.Hazikufika hata dakika tatu baada ya Nickson kuendeleza zoezi la kumpapasa mke wake akawa amedakwa shingo yake huku Gloria akiwa anazidi kukizungusha kiuno chake,aliomba mdomo na Nickson akampatia wakaanza kubadilishana mate tena!
“Nic…k aaaaah Nic…..k na..ku..pen.da saaanaa aaaaaah”


Gloria alisema kwa sauti ya puani,huku akihema juu juu,ni dhahiri kuwa alikuwa mbioni kufika mshindo,nguo zilivuliwa harakaharaka na hapo ndipo Nickson alipoingiza kadi yake kwenye mashine ya ATM ili kutoa salio la pesa zilizobaki kwenye akaunti.


kilichosikika hapo ni mlio wa kitanda kutingishika, wana ndoa hawa walikuwa wakifanya jambo ambalo liliwaleta duniani.


*****
Kikao chao cha ofisi kilichukua masaa mawili kukamilika,unoko wa Mzee Magugu haukuzaa matunda ndani ya kikao hicho cha bodi kilichokuwa na wanasheria kumi na tisa akiwemo Nickson Shayo ndani yake,kila Mzee Magugu alipojaribu kuongea habari mbaya juu ya Nickson ili tu afukuzwe kazi ilishindikana kabisa.


Sababu alizotoa hazikuweza kumshawishi Mr.Paul Kasera Mzee aliyekuwa na Mvi nyingi kichwani mweusi na ndiye huyu aliyekuwa mkurugenzi wao katika mahakama ya kisutu.Saa saba ya mchana wanasheria wote walitawanyika,Mzee Magugu alimkata jicho kali la hasira Nickson na kuachia msonyo,hiyo haikumshtua Nickson sababu alishamzoea, alipita mpaka ofisini kwake na kuketi.Hakufanya jambo lingine zaidi ya kuchukua mkonge wa simu na kubonyeza namba za simu ili kupiga nyumbani kwake akitaka kuongea na mke wake Gloria.
“Halloo”
Upande wa pili ulisikika baada ya simu kupokelewa.


“Mama kijacho!”
Nickson alisema huku akiweka utani, baada ya kugundua kuwa ni mke wake ndiye aliyepokea simu.
“Nambie baba kijacho”
“Hajambo huyo?”
“Huyu mzima wa afya,ana kusalimia”
“Nakumisi”
“Mara hii,si umetoka asubuhi tu?”
“Mimi kila sekunde nakumisi mke wangu”
“Hata mimi baba,vipi ushatoka kikaoni?”
“Nishatoka ndio,ushakula?”
“Bado ndio napika”
“Unapika nini?”
“Machalali”
“We mchaga kwa machalali”
“Ndio chakula chetu,nikupikie nini usiku wa leo baba angu?”
“Chochote tu,lakini leo usipike”
“Kwanini?”
“Nataka tukale nje”
“Hapana Nick,mimi sipendi bwana!au mimi sijui kupika?”
“Hapana sijasema ivyo,nataka nikutoe outing leo”
“Hapana,sio leo”
“Aya,hakuna tabu Mke wangu,nakupenda sana, wacha nikale kisha nirudi ili niendelee na kazi”
“Okay love,Mwaa mwaaaa”
“Ahsante, kuwa makini”
“Nawewe kuwa makini”


Maongezi ya Mtu na Mke wake kupitia simu yaliishia hapo yakamuacha kila mmoja wao akiwa mwenye furaha moyoni mwake.

Nickson na Gloria walipendana sio masihala na kila mtu aliamini kuwa kifo peke yake ndicho kitakacho watenganisha na wala sio kitu kingine,kila mtu alimuhaidi mwenzake atakuwa muaminifu mpaka pumzi ya mwisho!

****
“Nickson mme wangu,hii simu nitaiweza kweli?”
“Ndio”
“Inaitwaje?”
“Iphone four,hakuna mtu aliyekuwa nayo hapa Tanzania bado haijafika,nimekununulia wewe mke wangu,ni pesa nyingi sana iyo simu”
“Nickson ahsante sana,na hii nyingine nitampa nani?”
“Hiyo pia ni yako,utakuwa na simu mbili,hiyo ni kama zawadi yako mke wangu”
Ni kweli zawadi aliyompatia Mke wake siku hiyo ilikuwa ni ya gharama kubwa, karibia robo tatu ya mshahara wake aliolipwa uliteketea kisa kuagiza simu hiyo ya kisasa kutoka nchini Marekani, ili tu amfurahishe mke wake,kipindi hicho kuhusu swala la pesa hakujali ili mradi mke wake atafurahi, ndiyo maana baada ya kupokea mshahara wake aliharakisha kuiagiza simu hiyo.


Usiku kucha walikuwa wakiikorokochoa simu hiyo na Gloria kuelekezwa jinsi ya kuitumia,furaha iliongezeka maradufu,zawadi ikawa imeongeza furaha zaidi ndani ya ndoa yao,walifurahi na kuiburudisha miili yao wakifanya tendo la ndoa,na wote kujifunika na kulala usingizi.


****
Macho yalizidi kumtoka Nickson akiwa ameshika barua baada ya kuifungua.Alihisi kutetemeka na hakuelewa ataishi vipi,barua aliyokuwa akiisoma aliilewa dhahiri na chini ilikuwa imepigwa muhuri wa mahakama,machozi yalianza kumlenga hasa alipomkumbuka mke wake Gloria aliyekuwa mjamzito.Miezi mitano ilikuwa mingi mno kutenganishwa na mke wake kwenda mkoa mwingine kikazi,hakukaa sawa alihisi mlango wake unagongwa.


“Ingia”
Ndani ya ofisi yake aliingia msichana mnene kiasi mweupe, aliyevalia suti nyeusi.
“Vipi Isha?”
“Bosi amenipa tiketi yako,unatakiwa uanze safari leo saa tisa mchana”
Isha Alisema huku akiweka tiketi ya ndege mezani kwa Nickson kumaanisha kuwa jambo la safari yake ya kwenda mkoani Kigoma halikuwa mzaha.Ni kweli Nickson alitakiwa asafiri kikazi mkoani Kigoma siku hiyo mchana saa tisa alasiri!


******************** ************************ ************************* ********************
Simulizi zitakujia hapa hapa kila siku kuanzia saa tatu asubuhi mpaka saa nne asubuhi na ukipitwa na story basi nenda hapo juu kwenye menyu kisha bofya mahali palipo andikwa LOVE & STORY. Pia waweza kudownload Application yetu kwa kubofya neno DOWNLOAD hapo chini ufuate na maelekezo ili uweze kupata story na updates mbalimbali kwa muda muafaka na kwa urahisi zaidi.
 

Tukutane tena kesho muda kama huu.. ahsante


Download

0 comments:

Post a Comment