Pages

Subscribe:

Tuesday, April 4, 2017

VIDEO: MWANAMKE ALIYE JITUPA BAHARINI KUTOKA KWENYE BOTI YA AZAM AOKOLEWA


 
Mwanamke mmoja ambaye jina lake halijapatikana aliyekuwa kwenye boti ya Azam Kilimanjaro 5 ikitokea Zanzibar kuelekea Dar es Salaam, alijitupa baharini maeneo ya Chumbe wakati boti ikiwa katika mwendo. Mwanamke huyo kaokolewa na haijafahamika ni sababu gani zilimfanya ajitose baharini. 

Tazama video ya tukiozima nimekuwekea hapa chini...

Watch Here

0 comments:

Post a Comment